Psalms 38:3-7


3 aHakuna afya mwilini mwangu
kwa sababu ya ghadhabu yako,
mifupa yangu haina uzima
kwa sababu ya dhambi zangu.

4 bMaovu yangu yamenifunika
kama mzigo usiochukulika.


5 cMajeraha yangu yameoza na yananuka,
kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.

6 dNimeinamishwa chini na kushushwa sana,
mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

7 eViuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,
hakuna afya mwilini mwangu.
Copyright information for SwhKC